Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul


Msupa wangu anataka masheesha, na kwa mfuko pesa zangu zimeisha. 
Na yule waiter ananitisha, ati mabouncer atawaita. 
Na huyu dem bado anaitisha, na mi nashindwa sasa venye nitazusha
Tulipatana juzi kwenye insta-grrram na mi staki choma picha.

Chorus 
Itakua ngori, skiza stori, wacha kuckeka hii ni ngori
nilimwacha bila sorry.
na ukicheza
utapatana na ye patana na ye 
patana na ye ye ye ye *4
Kwenye profile mimi ni lawyer,kizungu tamu kama ile ya Lumumba
Lakini ukweli mimi ni  Hawker, nina thao mbili manze leo kulidhoka, makanjo 
walinishka hata
ni bahati stenje bado sijafika, na huyu dem zake bado hazijashika, 
mzinga tatu sasa zimekatika
Itakua ngori, skiza stori, wacha kuckeka hii ni ngori
nilimwacha bila sorry.
na ukicheza utapatana na ye
patana na ye 
patana na yeye wewe 
demu wa masheesha*4
Sasa nawaza vile nitaenda choo
Nitoroke huko nyuma backdoor
Akinisaka asinipate ng'oo
akiuliza aambiwe nimegoo
Lakini vile mi naenda kuchomoka
Yule waiter akaniona, hiyo bill
akaidrop, na kwa mfuko  mimi sina hata bob
Itakua ngori, skiza stori Wacha kucheka hii ni ngori
Nilimwacha bila sorry. 
Naukicheza utapatana na ye
patana na ye ,
patana na yeye wewe eeh
Demu wa masheehsa.
Utapatana na ye 
Patana na ye
Patana na yeye wewe eeh
demu wa masheesha.
Uta patana patana patana patana patana na yeye wewe 
demu wa masheesha
Utapatana na ye patana na ye, patana na yeee yeee ooh
demu wa masheesha
Patana na ye, patana na ye patana na ye yeea
Demu wa masheesha
Utapatana  na ye,patana na ye patana na yeye yeyeye 
demu wa masheesha
Utapatana na ye patana na yeye
Patana na yeyeea
demu wa masheehsa
patana na ye patana na yeeeee eeh


» »Unlabelled » Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul »Unlabelled » Naiboi - Problem Lyrics »Unlabelled » Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband »Unlabelled » Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff » » » » Taabu (Taboo) - Phy » » » » » ISABELLA BY SAUTI SOL » » » » Amina Lyrics By Sanaipei Tande
Unknown Unknown Author
Title: Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Msupa wangu anataka masheesha, na kwa mfuko pesa zangu zimeisha.  Na yule waiter ananitisha, ati mabouncer atawaita.  Na huyu dem...

Naiboi - Problem Lyrics


UUUH UUUHH NANANA
NAIBOI YEEAH IS PROBLEM
ZAGA KWANI BOSS


(CHORUS)
WHEN I STEP ON THE SCENE  HEY YOU KNOW AM A PROBLEM (PROBLEM) 
 NA VILE UMEBEBA MADAM  UTANILETEA PROBLEM (PROBLEM)
NAONA TU WATU IN HERE NA SITAKI NO PROBLEEEEEM
KAPESA KADOGO HULETANGA KAPROBLEM (KACHIING)
OOOOH SASA NI PROBLEM
IS A PROBLEM 
OOOOOH
A BIG PROBLEM
IS A PROBLEM
HAPA NI PROBLEM
IS A PROBLEM
OOOOOH A BIG PROBLEM
IS A PROBLEM
SASA KUNA PROBLEM
IS A PROBLEM
EEEEEEH A BIG PROBLEM
IS A PROBLEM
HAPA NI PROBLEM
IS A PROBLEM
OOOOH A BIG PROBLEM
IS A PROBLEM

YEH SI AM A BOSS I CAN DO WHAT I WANT TOO
NA HAWA MAFALA WANABONGA WATA LEARN TU
BOOMSHAKALAKA BAD MAN WHEN I COME THROUGH ZAGA
TAKE IT EASY GIRL PROBLEMS GONNA HUNT YOU (YUUH)
RING THE ALARM I SEE BLOOD ON THE DANCE FLOOR (OOOOH)
OMWANA NI SHINA SHIKHUNYASINJA OHH MAMY......ZAGA

(CHORUS )

1 BY 1  I GO 2 PAST 3 COZ I AM ONLY LOOKING 4 YOU
NIMENGOJA FIGURE NUMBER 8 KUTOKA SAA 6 NSAA 7  SO WHERE ARE YOOOOUU?
CAUSING PROBLEM IN THE CITY OF NAIROBI NAIBOI KIJANA YA NAIROBI
NA WAKILETA PROBLEM TUNAWAPIGA NDONDI
KWA HAO YAO BILA KUGONGA HODI

I SAY RING THE ALARM I SEE BLOOD ON THE FLOOR (OOOH OOOOOH) 
OMWANA NI SHINA SHIKHUNYASINJA OHH MAMY....ZAGA

(CHORUS)

UUUH LALALA
THE ROOF IS ON FIRE TONIGHT
UUH LALALA
KUNA MTU ATALIA TONIGHT
UUH LALALALALALALALALALALA(NAIBOI)
UUH LALALA



 (CHORUS)
HAHAHA 
A NAIBOI
PROBLEM
A JEGEDE
PROBLEM
CEDOOOOO
PROBLEM
HAA NANA

(WOOOOOOOOO)


» »Unlabelled » Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul »Unlabelled » Naiboi - Problem Lyrics »Unlabelled » Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband »Unlabelled » Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff » » » » Taabu (Taboo) - Phy » » » » » ISABELLA BY SAUTI SOL » » » » Amina Lyrics By Sanaipei Tande
Unknown Unknown Author
Title: Naiboi - Problem Lyrics
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
UUUH UUUHH NANANA NAIBOI YEEAH IS PROBLEM ZAGA KWANI BOSS (CHORUS) WHEN I STEP ON THE SCENE  HEY YOU KNOW AM A PROBLEM (PRO...

Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband


Nairobi yangu, Nairobi yangu
My city in the sun
Nimeishi New York, LA and London and they were nice,
Nimeona Amsterdam, Barcelona and
Istanbul with my own eyes,
But, kuna city moja, where I found love, Nairobi love,


Nairobi yangu, Nairobi yangu
Where I found love
My city in the sun


Driving through the streets of Nairobi, 
she may not be Paris or Rome, 
but here you'll never be alone.
Look into the people's hearts,
they'll show you love, 
we call it Nairobi love Nairobi love
Driving through the streets of Nairobi,
Don't worry about the traffic or noise and
don't be afraid of the street boys.
Just look into the people's hearts,
They'll show you love,
we call it Nairobi love, Nairobi love
Nairobi yangu, Nairobi yangu
We call it Nairobi Love
Nairobi yangu

Sleep sweet Nairobi
It ain't always easy to see the light
(Sleep sweet Nairobi)
Nairobi yangu.
(Sleep sweet Nairobi)
Sleep peacefully tonight
Nairobi yangu
(Sleep sweet Nairobi)
It ain't always easy to see the light
(Sleep sweet Nairobi)
Nairobi yangu
(Sleep sweet Nairobi)
Sleep peacefully, sleep peacefully tonight.


Nimeishi New York LA and London and they were nice.
Nimeona Amsterdam, Barcelona
and Istanbul with my own eyes but,
kuna city moja, where I found love
Nairobi love,
Nairobi yangu, it ain't always easy to see the light
Nairobi yangu, sleep peacefully tonight.
Nairobi yangu
Sleep sweet Nairobi
It ain't always easy to see the light
Sleep sweet Nairobi
Nairobi yangu.
Sleep sweet Nairobi
Sleep peacefully sleep peacefully tonight


Sleep sweet Nairobi
It ain't always easy to see the light
Sleep sweet Nairobi
Nairobi yangu.
Sleep sweet Nairobi
Sleep peacefully sleep peacefully tonight.
» »Unlabelled » Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul »Unlabelled » Naiboi - Problem Lyrics »Unlabelled » Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband »Unlabelled » Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff » » » » Taabu (Taboo) - Phy » » » » » ISABELLA BY SAUTI SOL » » » » Amina Lyrics By Sanaipei Tande
Unknown Unknown Author
Title: Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Nairobi yangu, Nairobi yangu My city in the sun Nimeishi New York, LA and London and they were nice, Nimeona Amsterdam, Barcelon...

Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff


Intro…
Side B baby, Blah!
Eeeh…
Yule Mluhya wa Bu bu bu bu bu Busiaaaaa eeh….
Yule Mluhya wa, niko na Ulopa Ngomaaa eeh….
Twende!

Hook,
Mmmh, Gugugaga gugugaga
Mmmh, Gugugaga gugugaga…

Verse One:

So we are going for a summer holiday, won’t you come with me,
We’re doing Kisumu, Busia City, baby won’t come with me,
So we are going for a summer holiday, won’t you come with me,
We’re doing Kisumu, Busia City, baby won’t come with me,
Come with me, tukatembelee mama mzazi come with me,
Come with me, tukatembelee mama mzazi come with me,

Chorus:
Umeniwahi Umeniwahi Umeniwahi si unajua nakudai,
Si unajua nakudai nakudai baby gal, baby umeniwahi,
Baby Umeniwahi Umeniwahi baby gal si unajua nakudai,
Si unajua nakudai nakudai baby gal, baby umeniwahi,
Wahi baby gal, Umeniwahi baby gal
Wahi baby gal, Umeniwahi baby gal….


Verse Two:
Nikikupata mimi sitahema na mimi sitacheza nitakwama na wewe tu,
Toka January to December bado wewe ni member ndani ya moyo yangu tu
Nikikupata mimi sitahema na mimi sitacheza nitakwama na wewe tu,
Toka January to December bado wewe ni member ndani ya moyo yangu tu

Hook:
Mmmmh, gugugaga gugugaga, unanifanya mi nabonga gugugaga
Mmmmh, gugugaga gugugaga, unanifanya mi nabonga gugugaga

Chorus:
Umeniwahi Umeniwahi Umeniwahi si unajua nakudai,
Si unajua nakudai nakudai baby gal, baby umeniwahi,
Baby Umeniwahi Umeniwahi baby gal si unajua nakudai,
Si unajua nakudai nakudai baby gal, baby umeniwahi,
Wahi baby gal, Umeniwahi baby gal
Wahi baby gal, Umeniwahi baby gal….

Verse Three:
I got a lot of, things to say to say to my baibe,
(To my baibe)
I got a lot of, things to tell you my gal,
(My gal)

Hook,
Mmmmh, gugugaga gugugaga, unanifanya mi nabonga gugugaga
Mmmmh, gugugaga gugugaga, unanifanya mi nabonga gugugaga

Chorus:
Umeniwahi Umeniwahi Umeniwahi si unajua nakudai,
Si unajua nakudai nakudai baby gal, baby umeniwahi,
Baby Umeniwahi Umeniwahi baby gal si unajua nakudai,
Si unajua nakudai nakudai baby gal, baby umeniwahi,
Wahi baby gal, Umeniwahi baby gal
Wahi baby gal, Umeniwahi baby gal….

Outro
(Wahi baby gal, umeniwahi baby gal) x4

» »Unlabelled » Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul »Unlabelled » Naiboi - Problem Lyrics »Unlabelled » Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband »Unlabelled » Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff » » » » Taabu (Taboo) - Phy » » » » » ISABELLA BY SAUTI SOL » » » » Amina Lyrics By Sanaipei Tande
Unknown Unknown Author
Title: Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Intro… Side B baby, Blah! Eeeh… Yule Mluhya wa Bu bu bu bu bu Busiaaaaa eeh…. Yule Mluhya wa, niko na Ulopa Ngomaaa eeh…. Twe...

Taabu (Taboo) - Phy



oooh oooh oooh oooh oooh oooh
oooh oooh oooh oooh oooh oooh

oh ni we, ni we nahepa kukucheki
anipendaye nimemwacha nyumbani, ye hajuii


baby wanichanganya, tambua

makosa baby forbiden fruit is sweet
maliza, mimi sijiwezi

yeah yeah e yeah e yeah

naenda mimi sitabaki
twajiweka shimoni this is where
'cause you're taboooo, oh yeah
we end

'cause you're taboooo, oh yeah
wewe ni taabu taabu taabu taabu taabu


wewe ni taboo tupu!



wewe ni taabu taabu taabu taabu taabu

oh acha (acha) kunishuka mkono hivyo
wewe ni taboo tupu!

mmmh uh yeah e yeah, yeah yeah yeah, u u u u u u u u

ninahisi mengi ila najua kuna kikomo

naenda mimi sitabaki

si upendo, ni mchezo, uongo
sitomea mimi (mimi)
najaribu kumpenda niliye naye
the one and let me win
'cause you're taboooo, oh yeah
tajiweka shimoni this where we end
yeah yeah e yeah e yeah

'cause you're taboooo, oh yeah
wewe ni taabu taabu taabu taabu taabu


wewe ni taboo tupu!



wewe ni taabu taabu taabu taabu taabu

'cause you're taboooo, oh yeah
wewe ni taboo tupu!

ooh ooh ooh ooh ooh

ooh ooh ooh ooh ooh

tajiweka shimoni this where we end

naenda mimi sitabaki

wewe ni taboo tupu!

yeah yeah e yeah e yeah

wewe ni taabu taabu taabu taabu taabu


wewe ni taboo tupu!

wewe ni taabu taabu taabu taabu taabu

'cause you're taboooo, oh yeah



» »Unlabelled » Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul »Unlabelled » Naiboi - Problem Lyrics »Unlabelled » Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband »Unlabelled » Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff » » » » Taabu (Taboo) - Phy » » » » » ISABELLA BY SAUTI SOL » » » » Amina Lyrics By Sanaipei Tande
Unknown Unknown Author
Title: Taabu (Taboo) - Phy
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
oooh oooh oooh oooh oooh oooh oooh oooh oooh oooh oooh oooh oh ni we, ni we nahepa kukucheki anipendaye nimemwach...

ISABELLA BY SAUTI SOL




ISABELLA BY SAUTI SOL

Verse 1
Hey IsabellaAre you gonna come out and dance, with me tonight
The stars look beautiful, outside, so so beautiful
Tell your mama i said sorry
I didn't bring you home early, last time
And I was a little tipsy
I know she doesn't miss me
So put on those shoes, that I like

And we'll go, and dance the night away
Away, Yeah!!
Chorus
Because YOLO YOLO
You Only Live Once
So, and me i wanna have some fun
Vunja mifupa kama meno iko
Up and away we go
And spend all my money on you baby
Cause i can't take it with me when am dead
So tonight, tonight
We are young, high, and in love
Verse 2
Isabella
One day I'll be a superstar, we'll go to America
Big show in a stadium Wuuwuuwuuwuu!!
Isabella
Today we boda boda, tomorrow we motorcar
(Nisikilize baby)
So put on the dress that hugs you tight
And we'll go, and dance the night away
Away away with you
Chorus
 YOLO YOLO
You Only Live Once
So, me i wanna have some fun
Vunja mifupa kama meno iko
Up and away we go
And spend all my money on you baby
Cause i can't take it with me when am dead
So tonight, tonight
We are young, high, and in love


YOLO YOLOYou Only Live OnceSo,
me i wanna have some
funVunja mifupa kama meno iko
Up and away we go
And spend all my money on you baby
Cause i can't take it with me when am dead
So tonight, tonight
We are young, high, and in love

You can get the music from this link https://www.youtube.com/watch?v=BS02l0cw140
» »Unlabelled » Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul »Unlabelled » Naiboi - Problem Lyrics »Unlabelled » Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband »Unlabelled » Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff » » » » Taabu (Taboo) - Phy » » » » » ISABELLA BY SAUTI SOL » » » » Amina Lyrics By Sanaipei Tande
Unknown Unknown Author
Title: ISABELLA BY SAUTI SOL
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
ISABELLA BY SAUTI SOL Verse 1 Hey Isabella Are you gonna come out and dance, with me tonight The stars look beautiful, outside...

Amina Lyrics By Sanaipei Tande

Aaaaah aaaaah aaah aaah
aaaaah aaaaah, aaaaah aaaaaah

Ooh mama, panguza chozi
Siyatafakari vita vya juzi
Si kupenda kwangu kukuudhi
Ila tu ujana haubagui
Dada panguza chozi
Sijitie lawama kwa uzushi
Kwani vita kati ya mandugu si ya firauni


Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina


Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina


Ooh mpenzi panguza chozi
Sijijaze chuki wewe moyoni
Hasira hasara
Yote ya mwenyezi
Oh rafiki panguza chozi
Sijiumize we kichwa na maswali
Utansamehe sana kwenda bila mkono wa buriaani


Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina


Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina


Ooh sina sina sina sina
Nafasi nyingine, Ya kuwa na wewe
Nasikitika mi naumia
Lakini nina nina nina nina
Shukrani moyoni, yakuwa miongoni
mwa walo nienzi mi


Wakati hauniruhusu mi
Kurekebisha yangu madhambi
Kwa hivyo nawaomba siku hii
Nikumbukie mazuri
Mi nataka mucheke siku ya mwisho
Siwe mpweke mi bado niko
Namshukuru Mola kwa kuwepo
Nasema Amina


Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina A A amina
Amina amina ×2


» »Unlabelled » Masheesha Lyrics By H_Art The Band Ft BenSoul »Unlabelled » Naiboi - Problem Lyrics »Unlabelled » Nairobi Yangu Lyrics By Gilad And Superband »Unlabelled » Umeniwahi (Lyrics) By Kristoff » » » » Taabu (Taboo) - Phy » » » » » ISABELLA BY SAUTI SOL » » » » Amina Lyrics By Sanaipei Tande
Unknown Unknown Author
Title: Amina Lyrics By Sanaipei Tande
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Aaaaah aaaaah aaah aaah aaaaah aaaaah, aaaaah aaaaaah Ooh mama, panguza chozi Siyatafakari vita vya juzi Si kupenda kwangu ku...
×